Chuo cha ufundi ABC-VTC kinapenda kuwataarifu kuwa zoezi la kudahili wanafunzi wanaotaka kujiunga na mafunzo ya ufundi kwa mwaka wa masomo 2021/2022
. udahili wa awamu ya pili unaendelea.
wote mnakaribishwa
CHUO CHA UFUNDI ABC NI CHUO KINACHOPATIKANA MKOA WA ARUSHA. CHUO KIPO ARUSHA MJINI ENEO LA KWA MROMBO,MTAA WA MLIMANI, KATA YA MURIETI, KARIBU NA HOSPITALI YA MURIET. CHUO KINATOA MAFUNZO YA UFUNDI KATIKA FANI MBALIMBALI. KWA MAWASILIANO PIGA: +255 754 693 725 AU +255 715 693 725 AU +255 784 693 725
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment